Al-Haqqa · 35/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
فَلَيْسَ لَهُ الْيَوْمَ هَاهُنَا حَمِيمٌ ۝٣٥
Falaysa lahul yawma haahunaa hameem
📖 Kwa Kiswahili
Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 33-37 — Al-Haqqa

33إِنَّهُ كَانَ لَا يُؤْمِنُ بِاللَّهِ الْعَظِيمِ
Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,
34وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala hahimizi kulisha masikini.
35فَلَيْسَ لَهُ الْيَوْمَ هَاهُنَا حَمِيمٌ
Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
36وَلَا طَعَامٌ إِلَّا مِنْ غِسْلِينٍ
Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
37لَّا يَأْكُلُهُ إِلَّا الْخَاطِئُونَ
Chakula hicho hawakili ila wakosefu.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
35Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 35

Sura Al-Haqqa Aya 35 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,

Sura Aya 35/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 33–37. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema