Al-Muzzammil · 12/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muzzammil
إِنَّ لَدَيْنَا أَنكَالًا وَجَحِيمًا ۝١٢
Inna ladainaaa ankaalanw wa jaheemaa
📖 Kwa Kiswahili
Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 10-14 — Al-Muzzammil

10وَاصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَاهْجُرْهُمْ هَجْرًا جَمِيلًا
Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
11وَذَرْنِي وَالْمُكَذِّبِينَ أُولِي النَّعْمَةِ وَمَهِّلْهُمْ قَلِيلًا
Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!
12إِنَّ لَدَيْنَا أَنكَالًا وَجَحِيمًا
Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!
13وَطَعَامًا ذَا غُصَّةٍ وَعَذَابًا أَلِيمًا
Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.
14يَوْمَ تَرْجُفُ الْأَرْضُ وَالْجِبَالُ وَكَانَتِ الْجِبَالُ كَثِيبًا مَّهِيلًا
Siku ambayo ardhi itatikiswa na milima pia, na milima itakuwa kama tifutifu la mchanga!
Al-MuzzammilFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Al-Muzzammil 12

Sura Al-Muzzammil Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa…

Sura Aya 12/20 — Al-Muzzammil المزمل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muzzammil Sikiliza, Al-Muzzammil Tafsiri, Al-Muzzammil mp3, Al-Muzzammil pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema