Al-Muzzammil · 11/20
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muzzammil
وَذَرْنِي وَالْمُكَذِّبِينَ أُولِي النَّعْمَةِ وَمَهِّلْهُمْ قَلِيلًا ۝١١
Wa zarnee walmukaz zibeena ulin na`mati wa mahhilhum qaleelaa
📖 Kwa Kiswahili
Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — Al-Muzzammil

9رَّبُّ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ لَا إِلَٰهَ إِلَّا هُوَ فَاتَّخِذْهُ وَكِيلًا
Mola Mlezi wa mashariki na magharibi, hapana mungu isipo kuwa Yeye, basi mfanye kuwa Mtegemewa wako.
10وَاصْبِرْ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَاهْجُرْهُمْ هَجْرًا جَمِيلًا
Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
11وَذَرْنِي وَالْمُكَذِّبِينَ أُولِي النَّعْمَةِ وَمَهِّلْهُمْ قَلِيلًا
Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na wape muhula kidogo!
12إِنَّ لَدَيْنَا أَنكَالًا وَجَحِيمًا
Hakika Sisi tunazo pingu nzito na Moto unao waka kwa ukali kabisa!
13وَطَعَامًا ذَا غُصَّةٍ وَعَذَابًا أَلِيمًا
Na chakula kinacho kwama kooni, na adhabu inayo umiza.
Al-MuzzammilFaharasa ya Qurani
20Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Al-Muzzammil 11

Sura Al-Muzzammil Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na niache Mimi na hao wanao kanusha, walio neemeka; na…

Sura Aya 11/20 — Al-Muzzammil المزمل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muzzammil Sikiliza, Al-Muzzammil Tafsiri, Al-Muzzammil mp3, Al-Muzzammil pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema