Al-Qiyama · 6/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
يَسْأَلُ أَيَّانَ يَوْمُ الْقِيَامَةِ ۝٦
Yas`alu ayyyaana yawmul qiyaamah
📖 Kwa Kiswahili
Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 4-8 — Al-Qiyama

4بَلَىٰ قَادِرِينَ عَلَىٰ أَن نُّسَوِّيَ بَنَانَهُ
Kwani! Sisi tunaweza hata kuziweka sawa sawa ncha za vidole vyake!
5بَلْ يُرِيدُ الْإِنسَانُ لِيَفْجُرَ أَمَامَهُ
Lakini mtu anataka tu kuendelea na maasi kwa siku zilioko mbele yake.
6يَسْأَلُ أَيَّانَ يَوْمُ الْقِيَامَةِ
Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?
7فَإِذَا بَرِقَ الْبَصَرُ
Basi jicho litapo dawaa,
8وَخَسَفَ الْقَمَرُ
Na mwezi utapo patwa,
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 6

Sura Al-Qiyama Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Anauliza: Lini itakuwa hiyo Siku ya Kiyama?

Sura Aya 6/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema