Al-Mursalat · 38/50
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mursalat
هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَاكُمْ وَالْأَوَّلِينَ ۝٣٨
Haaza yawmul fasli jama `naakum wal awwaleen
📖 Kwa Kiswahili
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 36-40 — Al-Mursalat

36وَلَا يُؤْذَنُ لَهُمْ فَيَعْتَذِرُونَ
Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru.
37وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
38هَٰذَا يَوْمُ الْفَصْلِ ۖ جَمَعْنَاكُمْ وَالْأَوَّلِينَ
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.
39فَإِن كَانَ لَكُمْ كَيْدٌ فَكِيدُونِ
Ikiwa mnayo hila, nifanyieni hila Mimi!
40وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao walio kanusha!
Al-MursalatFaharasa ya Qurani
50Aya
MakkaRevelation
38Aya

Tafsiri — Al-Mursalat 38

Sura Al-Mursalat Aya 38 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia.

Sura Aya 38/50 — Al-Mursalat المرسلات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mursalat Sikiliza, Al-Mursalat Tafsiri, Al-Mursalat mp3, Al-Mursalat pdf. Aya 36–40. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema