Abasa · 36/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
وَصَاحِبَتِهِ وَبَنِيهِ ۝٣٦
Wa sahi batihee wa baneeh
📖 Kwa Kiswahili
Na mkewe na wanawe -
🎧 Sikiliza

📜 Aya 34-38 — Abasa

34يَوْمَ يَفِرُّ الْمَرْءُ مِنْ أَخِيهِ
Siku ambayo mtu atamkimbia nduguye,
35وَأُمِّهِ وَأَبِيهِ
Na mamaye na babaye,
36وَصَاحِبَتِهِ وَبَنِيهِ
Na mkewe na wanawe -
37لِكُلِّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ يَوْمَئِذٍ شَأْنٌ يُغْنِيهِ
Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
38وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ مُّسْفِرَةٌ
Siku hiyo ziko nyuso zitazo nawiri,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Abasa 36

Sura Abasa Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mkewe na wanawe -

Sura Aya 36/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema