Abasa · 35/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
وَأُمِّهِ وَأَبِيهِ ۝٣٥
Wa ummihee wa abeeh
📖 Kwa Kiswahili
Na mamaye na babaye,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 33-37 — Abasa

33فَإِذَا جَاءَتِ الصَّاخَّةُ
Basi utakapo kuja ukelele,
34يَوْمَ يَفِرُّ الْمَرْءُ مِنْ أَخِيهِ
Siku ambayo mtu atamkimbia nduguye,
35وَأُمِّهِ وَأَبِيهِ
Na mamaye na babaye,
36وَصَاحِبَتِهِ وَبَنِيهِ
Na mkewe na wanawe -
37لِكُلِّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ يَوْمَئِذٍ شَأْنٌ يُغْنِيهِ
Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
35Aya

Tafsiri — Abasa 35

Sura Abasa Aya 35 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mamaye na babaye,

Sura Aya 35/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 33–37. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema