Abasa · 37/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
لِكُلِّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ يَوْمَئِذٍ شَأْنٌ يُغْنِيهِ ۝٣٧
Likul limri-im-minuhm yaumaa-izin shaa nuy-yughneeh
📖 Kwa Kiswahili
Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 35-39 — Abasa

35وَأُمِّهِ وَأَبِيهِ
Na mamaye na babaye,
36وَصَاحِبَتِهِ وَبَنِيهِ
Na mkewe na wanawe -
37لِكُلِّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ يَوْمَئِذٍ شَأْنٌ يُغْنِيهِ
Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la kumtosha.
38وُجُوهٌ يَوْمَئِذٍ مُّسْفِرَةٌ
Siku hiyo ziko nyuso zitazo nawiri,
39ضَاحِكَةٌ مُّسْتَبْشِرَةٌ
Zitacheka, zitachangamka;
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — Abasa 37

Sura Abasa Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kila mtu miongoni mwao siku hiyo atakuwa na lake la…

Sura Aya 37/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema