Al-Fajr · 15/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Fajr
فَأَمَّا الْإِنسَانُ إِذَا مَا ابْتَلَاهُ رَبُّهُ فَأَكْرَمَهُ وَنَعَّمَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَكْرَمَنِ ۝١٥
Fa ammal insaanu izaa mab talaahu Rabbuhoo fa akramahoo wa na` `amahoo fa yaqoolu Rabbeee akraman
📖 Kwa Kiswahili
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 13-17 — Al-Fajr

13فَصَبَّ عَلَيْهِمْ رَبُّكَ سَوْطَ عَذَابٍ
Basi Mola wako Mlezi aliwapiga mjeledi wa adhabu.
14إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
15فَأَمَّا الْإِنسَانُ إِذَا مَا ابْتَلَاهُ رَبُّهُ فَأَكْرَمَهُ وَنَعَّمَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَكْرَمَنِ
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!
16وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
17كَلَّا ۖ بَل لَّا تُكْرِمُونَ الْيَتِيمَ
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — Al-Fajr 15

Sura Al-Fajr Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na…

Sura Aya 15/30 — Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Fajr Sikiliza, Al-Fajr Tafsiri, Al-Fajr mp3, Al-Fajr pdf. Aya 13–17. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema