Al-Fajr · 16/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Fajr
وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ ۝١٦
Wa ammaaa izaa mabtalaahu faqadara `alaihi rizqahoo fa yaqoolu Rabbeee ahaanan
📖 Kwa Kiswahili
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 14-18 — Al-Fajr

14إِنَّ رَبَّكَ لَبِالْمِرْصَادِ
Hakika Mola wako Mlezi yupo kwenye mavizio anawavizia.
15فَأَمَّا الْإِنسَانُ إِذَا مَا ابْتَلَاهُ رَبُّهُ فَأَكْرَمَهُ وَنَعَّمَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَكْرَمَنِ
Ama mtu anapo jaribiwa na Mola wake Mlezi, akamkirimu na akamneemesha, husema: Mola wangu Mlezi amenikirimu!
16وَأَمَّا إِذَا مَا ابْتَلَاهُ فَقَدَرَ عَلَيْهِ رِزْقَهُ فَيَقُولُ رَبِّي أَهَانَنِ
Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu Mlezi amenitia unyonge!
17كَلَّا ۖ بَل لَّا تُكْرِمُونَ الْيَتِيمَ
Sivyo hivyo! Bali nyinyi hamuwakirimu mayatima,
18وَلَا تَحَاضُّونَ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala hamhimizani kulisha masikini;
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — Al-Fajr 16

Sura Al-Fajr Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ama anapo mjaribu akampunguzia riziki yake, husema: Mola wangu…

Sura Aya 16/30 — Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Fajr Sikiliza, Al-Fajr Tafsiri, Al-Fajr mp3, Al-Fajr pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema