Al-Humaza · 1/9
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Humaza
وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ ۝١
Wai lul-li kulli hu mazatil-lumaza
📖 Kwa Kiswahili
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 1-3 — Al-Humaza

1وَيْلٌ لِّكُلِّ هُمَزَةٍ لُّمَزَةٍ
Ole wake kila safihi, msengenyaji!
2الَّذِي جَمَعَ مَالًا وَعَدَّدَهُ
Aliye kusanya mali na kuyahisabu.
3يَحْسَبُ أَنَّ مَالَهُ أَخْلَدَهُ
Anadhani ya kuwa mali yake yatambakisha milele!
Al-HumazaFaharasa ya Qurani
9Aya
MakkaRevelation
1Aya

Tafsiri — Al-Humaza 1

Sura Al-Humaza Aya 1 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ole wake kila safihi, msengenyaji!

Sura Aya 1/9 — Al-Humaza الهمزة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Humaza Sikiliza, Al-Humaza Tafsiri, Al-Humaza mp3, Al-Humaza pdf. Aya 1–3. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema