Al-Hijr · 41/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
قَالَ هَٰذَا صِرَاطٌ عَلَيَّ مُسْتَقِيمٌ ۝٤١
Qaala haaza Siraatun `alaiya Mustaqeem
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 39-43 — Al-Hijr

39قَالَ رَبِّ بِمَا أَغْوَيْتَنِي لَأُزَيِّنَنَّ لَهُمْ فِي الْأَرْضِ وَلَأُغْوِيَنَّهُمْ أَجْمَعِينَ
Akasema: Mola wangu Mlezi! Ilivyo kuwa umenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa duniani na nitawapoteza wote,
40إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ
Ila waja wako walio safika.
41قَالَ هَٰذَا صِرَاطٌ عَلَيَّ مُسْتَقِيمٌ
Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.
42إِنَّ عِبَادِي لَيْسَ لَكَ عَلَيْهِمْ سُلْطَانٌ إِلَّا مَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْغَاوِينَ
Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.
43وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ
Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
41Aya

Tafsiri — Al-Hijr 41

Sura Al-Hijr Aya 41 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.

Sura Aya 41/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 39–43. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema