Al-Hijr · 42/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
إِنَّ عِبَادِي لَيْسَ لَكَ عَلَيْهِمْ سُلْطَانٌ إِلَّا مَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْغَاوِينَ ۝٤٢
Inna `ibaadee laisa laka `alaihim sultaanun illaa manittaba`aka minal ghaaween
📖 Kwa Kiswahili
Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 40-44 — Al-Hijr

40إِلَّا عِبَادَكَ مِنْهُمُ الْمُخْلَصِينَ
Ila waja wako walio safika.
41قَالَ هَٰذَا صِرَاطٌ عَلَيَّ مُسْتَقِيمٌ
Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.
42إِنَّ عِبَادِي لَيْسَ لَكَ عَلَيْهِمْ سُلْطَانٌ إِلَّا مَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْغَاوِينَ
Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.
43وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ
Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
44لَهَا سَبْعَةُ أَبْوَابٍ لِّكُلِّ بَابٍ مِّنْهُمْ جُزْءٌ مَّقْسُومٌ
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
42Aya

Tafsiri — Al-Hijr 42

Sura Al-Hijr Aya 42 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo…

Sura Aya 42/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 40–44. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema