Taha · 4/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
تَنزِيلًا مِّمَّنْ خَلَقَ الْأَرْضَ وَالسَّمَاوَاتِ الْعُلَى ۝٤
Tanzeelam mimman khalaqal arda was samaawaatil `ulaa
📖 Kwa Kiswahili
Materemsho yatokayo kwa aliye umba ardhi na mbingu zilizo juu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 2-6 — Taha

2مَا أَنزَلْنَا عَلَيْكَ الْقُرْآنَ لِتَشْقَىٰ
Hatukukuteremshia Qur'ani ili upate mashaka.
3إِلَّا تَذْكِرَةً لِّمَن يَخْشَىٰ
Bali ni mawaidha kwa wenye kunyenyekea.
4تَنزِيلًا مِّمَّنْ خَلَقَ الْأَرْضَ وَالسَّمَاوَاتِ الْعُلَى
Materemsho yatokayo kwa aliye umba ardhi na mbingu zilizo juu.
5الرَّحْمَٰنُ عَلَى الْعَرْشِ اسْتَوَىٰ
Arrahmani, Mwingi wa Rehema, aliye tawala juu ya Kiti cha Enzi.
6لَهُ مَا فِي السَّمَاوَاتِ وَمَا فِي الْأَرْضِ وَمَا بَيْنَهُمَا وَمَا تَحْتَ الثَّرَىٰ
Ni vyake vyote viliomo mbinguni na viliomo katika ardhi, na viliomo baina yao, na viliomo chini ya ardhi.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Taha 4

Sura Taha Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Materemsho yatokayo kwa aliye umba ardhi na mbingu zilizo juu.

Sura Aya 4/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema