Ash-Shu'ara · 30/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالَ أَوَلَوْ جِئْتُكَ بِشَيْءٍ مُّبِينٍ ۝٣٠
Qaala awalw ji`tuka bishai`im mubeen
📖 Kwa Kiswahili
Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 28-32 — Ash-Shu'ara

28قَالَ رَبُّ الْمَشْرِقِ وَالْمَغْرِبِ وَمَا بَيْنَهُمَا ۖ إِن كُنتُمْ تَعْقِلُونَ
(Musa) akasema: Ndiye Mola Mlezi wa Mashariki na Magharibi na viliomo baina yao, ikiwa nyinyi mnatia akilini.
29قَالَ لَئِنِ اتَّخَذْتَ إِلَٰهًا غَيْرِي لَأَجْعَلَنَّكَ مِنَ الْمَسْجُونِينَ
(Firauni) akasema: Ukimfuata mungu mwengine asiye kuwa mimi, basi bila ya shaka nitakufunga gerezani.
30قَالَ أَوَلَوْ جِئْتُكَ بِشَيْءٍ مُّبِينٍ
Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?
31قَالَ فَأْتِ بِهِ إِن كُنتَ مِنَ الصَّادِقِينَ
Akasema: Kilete basi, kama wewe ni katika wasemao kweli.
32فَأَلْقَىٰ عَصَاهُ فَإِذَا هِيَ ثُعْبَانٌ مُّبِينٌ
Basi akaitupa fimbo yake, mara ikawa nyoka wa kuonekana dhaahiri.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
30Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 30

Sura Ash-Shu'ara Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Akasema: Je! Ijapo kuwa nitakuletea kitu cha kubainisha wazi?

Sura Aya 30/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 28–32. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema