Luqman · 4/34
Tafsiri Uandishi wa sauti — Luqman
الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلَاةَ وَيُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَهُم بِالْآخِرَةِ هُمْ يُوقِنُونَ ۝٤
Allazeena yuqeemoonas Salaata wa yu`toonaz Zakaata wa hum bil Aakhirati hum yooqinoon
📖 Kwa Kiswahili
Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 2-6 — Luqman

2تِلْكَ آيَاتُ الْكِتَابِ الْحَكِيمِ
Hizi ni Aya za Kitabu chenye hikima.
3هُدًى وَرَحْمَةً لِّلْمُحْسِنِينَ
Kuwa ni Uwongofu na Rehema kwa wafanyao wema,
4الَّذِينَ يُقِيمُونَ الصَّلَاةَ وَيُؤْتُونَ الزَّكَاةَ وَهُم بِالْآخِرَةِ هُمْ يُوقِنُونَ
Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na Akhera.
5أُولَٰئِكَ عَلَىٰ هُدًى مِّن رَّبِّهِمْ ۖ وَأُولَٰئِكَ هُمُ الْمُفْلِحُونَ
Hao ndio walio na uwongofu utokao kwa Mola wao Mlezi, na hao ndio wenye kufanikiwa.
6وَمِنَ النَّاسِ مَن يَشْتَرِي لَهْوَ الْحَدِيثِ لِيُضِلَّ عَن سَبِيلِ اللَّهِ بِغَيْرِ عِلْمٍ وَيَتَّخِذَهَا هُزُوًا ۚ أُولَٰئِكَ لَهُمْ عَذَابٌ مُّهِينٌ
Na miongoni mwa watu wapo wanao nunua maneno ya upuuzi, ili wawapoteze watu na njia ya Mwenyezi Mungu pasipo kujua, na wanaichukulia ni maskhara. Hao watapata adhabu ya kuwafedhehesha.
LuqmanFaharasa ya Qurani
34Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Luqman 4

Sura Luqman Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wanao shika Sala, na wanatoa Zaka, nao wana yakini na…

Sura Aya 4/34 — Luqman لقمان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Luqman Sikiliza, Luqman Tafsiri, Luqman mp3, Luqman pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema