As-Saffat · 38/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِنَّكُمْ لَذَائِقُو الْعَذَابِ الْأَلِيمِ ۝٣٨
Innakum lazaaa`iqul `azaabil aleem
📖 Kwa Kiswahili
Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 36-40 — As-Saffat

36وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُو آلِهَتِنَا لِشَاعِرٍ مَّجْنُونٍ
Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?
37بَلْ جَاءَ بِالْحَقِّ وَصَدَّقَ الْمُرْسَلِينَ
Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.
38إِنَّكُمْ لَذَائِقُو الْعَذَابِ الْأَلِيمِ
Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
39وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
40إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
38Aya

Tafsiri — As-Saffat 38

Sura As-Saffat Aya 38 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.

Sura Aya 38/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 36–40. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema