As-Saffat · 39/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ ۝٣٩
Wa maa tujzawna illaa maa kuntum ta`maloon
📖 Kwa Kiswahili
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 37-41 — As-Saffat

37بَلْ جَاءَ بِالْحَقِّ وَصَدَّقَ الْمُرْسَلِينَ
Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.
38إِنَّكُمْ لَذَائِقُو الْعَذَابِ الْأَلِيمِ
Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
39وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
40إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio khitariwa.
41أُولَٰئِكَ لَهُمْ رِزْقٌ مَّعْلُومٌ
Hao ndio watakao pata riziki maalumu,
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
39Aya

Tafsiri — As-Saffat 39

Sura As-Saffat Aya 39 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.

Sura Aya 39/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 37–41. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema