As-Saffat · 37/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
بَلْ جَاءَ بِالْحَقِّ وَصَدَّقَ الْمُرْسَلِينَ ۝٣٧
bal jaaa`a bilhaqqi wa saddaqal mursaleen
📖 Kwa Kiswahili
Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 35-39 — As-Saffat

35إِنَّهُمْ كَانُوا إِذَا قِيلَ لَهُمْ لَا إِلَٰهَ إِلَّا اللَّهُ يَسْتَكْبِرُونَ
Wao walipo kuwa wakiambiwa La ilaha illa 'Llahu Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu tu, wakijivuna.
36وَيَقُولُونَ أَئِنَّا لَتَارِكُو آلِهَتِنَا لِشَاعِرٍ مَّجْنُونٍ
Na wakisema: Hivyo sisi tuiache miungu yetu kwa ajili ya huyu mtunga mashairi mwendawazimu?
37بَلْ جَاءَ بِالْحَقِّ وَصَدَّقَ الْمُرْسَلِينَ
Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.
38إِنَّكُمْ لَذَائِقُو الْعَذَابِ الْأَلِيمِ
Hakika nyinyi bila ya shaka mtaionja adhabu chungu.
39وَمَا تُجْزَوْنَ إِلَّا مَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Wala hamlipwi ila hayo mliyo kuwa mkiyafanya.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — As-Saffat 37

Sura As-Saffat Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Bali huyu amekuja kwa Haki, na amewasadikisha Mitume.

Sura Aya 37/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema