At-Tur · 27/49
Tafsiri Uandishi wa sauti — At-Tur
فَمَنَّ اللَّهُ عَلَيْنَا وَوَقَانَا عَذَابَ السَّمُومِ ۝٢٧
Famannnal laahu `alainaa wa waqaanaa `azaabas samoom
📖 Kwa Kiswahili
Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 25-29 — At-Tur

25وَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَسَاءَلُونَ
Wataelekeana wakiulizana.
26قَالُوا إِنَّا كُنَّا قَبْلُ فِي أَهْلِنَا مُشْفِقِينَ
Waseme: Tulikuwa zamani pamoja na ahali zetu tukiogopa;
27فَمَنَّ اللَّهُ عَلَيْنَا وَوَقَانَا عَذَابَ السَّمُومِ
Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya upepo wa Moto.
28إِنَّا كُنَّا مِن قَبْلُ نَدْعُوهُ ۖ إِنَّهُ هُوَ الْبَرُّ الرَّحِيمُ
Hakika sisi zamani tulikuwa tukimwomba Yeye tu. Hakika Yeye ndiye Mwema Mwenye kurehemu.
29فَذَكِّرْ فَمَا أَنتَ بِنِعْمَتِ رَبِّكَ بِكَاهِنٍ وَلَا مَجْنُونٍ
Basi kumbusha! Kwani wewe, kwa neema ya Mola wako Mlezi, si kuhani wala mwendawazimu.
At-TurFaharasa ya Qurani
49Aya
MakkaRevelation
27Aya

Tafsiri — At-Tur 27

Sura At-Tur Aya 27 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi Mwenyezi Mungu akatufanyia hisani na akatulinda na adhabu ya…

Sura Aya 27/49 — At-Tur الطور (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: At-Tur Sikiliza, At-Tur Tafsiri, At-Tur mp3, At-Tur pdf. Aya 25–29. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema