An-Najm · 16/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ ۝١٦
Iz yaghshas sidrata maa yaghshaa
📖 Kwa Kiswahili
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 14-18 — An-Najm

14عِندَ سِدْرَةِ الْمُنتَهَىٰ
Penye Mkunazi wa mwisho.
15عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ
Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa.
16إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
17مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
18لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ
Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — An-Najm 16

Sura An-Najm Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.

Sura Aya 16/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema