An-Najm · 17/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ ۝١٧
Maa zaaghal basaru wa maa taghaa
📖 Kwa Kiswahili
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 15-19 — An-Najm

15عِندَهَا جَنَّةُ الْمَأْوَىٰ
Karibu yake ndiyo ipo Bustani inayo kaliwa.
16إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ
Kilipo ufunika huo Mkunazi hicho kilicho ufunuika.
17مَا زَاغَ الْبَصَرُ وَمَا طَغَىٰ
Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.
18لَقَدْ رَأَىٰ مِنْ آيَاتِ رَبِّهِ الْكُبْرَىٰ
Kwa yakini aliona katika Ishara kubwa kabisa za Mola wake Mlezi.
19أَفَرَأَيْتُمُ اللَّاتَ وَالْعُزَّىٰ
Je! Mmemuona Lata na Uzza?
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — An-Najm 17

Sura An-Najm Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Jicho halikuhangaika wala halikuruka mpaka.

Sura Aya 17/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema