Al-Qamar · 14/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
تَجْرِي بِأَعْيُنِنَا جَزَاءً لِّمَن كَانَ كُفِرَ ۝١٤
Tajree bi a`yuninaa jazaaa `al liman kaana kufir
📖 Kwa Kiswahili
Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo kuwa amekanushwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 12-16 — Al-Qamar

12وَفَجَّرْنَا الْأَرْضَ عُيُونًا فَالْتَقَى الْمَاءُ عَلَىٰ أَمْرٍ قَدْ قُدِرَ
Na tukazipasua ardhi kwa chemchem, yakakutana maji kwa jambo lilio kadiriwa.
13وَحَمَلْنَاهُ عَلَىٰ ذَاتِ أَلْوَاحٍ وَدُسُرٍ
Na tukamchukua kwenye safina ya mbao na kamba.
14تَجْرِي بِأَعْيُنِنَا جَزَاءً لِّمَن كَانَ كُفِرَ
Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo kuwa amekanushwa.
15وَلَقَد تَّرَكْنَاهَا آيَةً فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka tuliiacha iwe ni Ishara. Lakini je, yupo anaye kumbuka?
16فَكَيْفَ كَانَ عَذَابِي وَنُذُرِ
Basi ilikuwaje adhabu yangu, na maonyo yangu.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-Qamar 14

Sura Al-Qamar Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ikawa inakwenda kwa nadhari yetu, kuwa ni malipo kwa alivyo…

Sura Aya 14/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema