Al-Qamar · 53/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
وَكُلُّ صَغِيرٍ وَكَبِيرٍ مُّسْتَطَرٌ ۝٥٣
Wa kullu sagheerinw wa kabeerim mustatar
📖 Kwa Kiswahili
Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 51-55 — Al-Qamar

51وَلَقَدْ أَهْلَكْنَا أَشْيَاعَكُمْ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
52وَكُلُّ شَيْءٍ فَعَلُوهُ فِي الزُّبُرِ
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
53وَكُلُّ صَغِيرٍ وَكَبِيرٍ مُّسْتَطَرٌ
Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.
54إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَنَهَرٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na mito.
55فِي مَقْعَدِ صِدْقٍ عِندَ مَلِيكٍ مُّقْتَدِرٍ
Katika makalio ya haki kwa Mfalme Mwenye uweza.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
53Aya

Tafsiri — Al-Qamar 53

Sura Al-Qamar Aya 53 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kila kidogo na kikubwa kimeandikwa.

Sura Aya 53/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 51–55. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema