Ar-Rahman · 58/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
كَأَنَّهُنَّ الْيَاقُوتُ وَالْمَرْجَانُ ۝٥٨
ka annahunnal yaaqootu wal marjaan
📖 Kwa Kiswahili
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 56-60 — Ar-Rahman

56فِيهِنَّ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
57فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
58كَأَنَّهُنَّ الْيَاقُوتُ وَالْمَرْجَانُ
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
59فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
60هَلْ جَزَاءُ الْإِحْسَانِ إِلَّا الْإِحْسَانُ
Ati yaweza kuwa malipo ya ihsani ila ihsani?
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
58Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 58

Sura Ar-Rahman Aya 58 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.

Sura Aya 58/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 56–60. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema