Ar-Rahman · 57/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ۝٥٧
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
📖 Kwa Kiswahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 55-59 — Ar-Rahman

55فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
56فِيهِنَّ قَاصِرَاتُ الطَّرْفِ لَمْ يَطْمِثْهُنَّ إِنسٌ قَبْلَهُمْ وَلَا جَانٌّ
Humo watakuwamo wanawake watulizao macho yao; hajawagusa mtu kabla yao wala jini.
57فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
58كَأَنَّهُنَّ الْيَاقُوتُ وَالْمَرْجَانُ
Kama kwamba wao ni yakuti na marijani.
59فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha.
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
57Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 57

Sura Ar-Rahman Aya 57 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo…

Sura Aya 57/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 55–59. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema