Al-Waqi'a · 18/96
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Waqi'a
بِأَكْوَابٍ وَأَبَارِيقَ وَكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍ ۝١٨
Bi akwaabinw wa abaareeq, wa kaasim mim ma`een
📖 Kwa Kiswahili
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 16-20 — Al-Waqi'a

16مُّتَّكِئِينَ عَلَيْهَا مُتَقَابِلِينَ
Wakiviegemea wakielekeana.
17يَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُّخَلَّدُونَ
Wakitumikiwa na wavulana wa ujana wa milele,
18بِأَكْوَابٍ وَأَبَارِيقَ وَكَأْسٍ مِّن مَّعِينٍ
Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem safi.
19لَّا يُصَدَّعُونَ عَنْهَا وَلَا يُنزِفُونَ
Hawataumwa kichwa kwa vinywaji hivyo wala hawatoleweshwa.
20وَفَاكِهَةٍ مِّمَّا يَتَخَيَّرُونَ
Na matunda wayapendayo,
Al-Waqi'aFaharasa ya Qurani
96Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Waqi'a 18

Sura Al-Waqi'a Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa vikombe na mabirika na bilauri za vinywaji kutoka chemchem…

Sura Aya 18/96 — Al-Waqi'a الواقعة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Waqi'a Sikiliza, Al-Waqi'a Tafsiri, Al-Waqi'a mp3, Al-Waqi'a pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema