Al-Qalam · 31/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
قَالُوا يَا وَيْلَنَا إِنَّا كُنَّا طَاغِينَ ۝٣١
Qaaloo yaa wailanaaa innaa kunnaa taagheen
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!

🎧 Sikiliza


📜 Aya 29-33 — Al-Qalam

29قَالُوا سُبْحَانَ رَبِّنَا إِنَّا كُنَّا ظَالِمِينَ
Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu.
30فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَلَاوَمُونَ
Basi wakakabiliana kulaumiana wao kwa wao.
31قَالُوا يَا وَيْلَنَا إِنَّا كُنَّا طَاغِينَ
Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!
32عَسَىٰ رَبُّنَا أَن يُبْدِلَنَا خَيْرًا مِّنْهَا إِنَّا إِلَىٰ رَبِّنَا رَاغِبُونَ
Asaa Mola wetu Mlezi akatubadilishia lilio bora kuliko hili. Hakika sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi.
33كَذَٰلِكَ الْعَذَابُ ۖ وَلَعَذَابُ الْآخِرَةِ أَكْبَرُ ۚ لَوْ كَانُوا يَعْلَمُونَ
Namna hivi yanakuwa mateso, na bila ya shaka mateso ya Akhera ni makubwa zaidi, laiti wangeli jua!
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
31Aya

Tafsiri — Al-Qalam 31

Sura Al-Qalam Aya 31 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!

Sura Aya 31/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 29–33. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema