Al-Qalam · 30/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَلَاوَمُونَ ۝٣٠
Fa aqbala ba`duhum `alaa ba`diny yatalaawamoon
📖 Kwa Kiswahili
Basi wakakabiliana kulaumiana wao kwa wao.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 28-32 — Al-Qalam

28قَالَ أَوْسَطُهُمْ أَلَمْ أَقُل لَّكُمْ لَوْلَا تُسَبِّحُونَ
Mbora wao akasema: Sikukwambieni, kwa nini hamumtakasi Mwenyezi Mungu?
29قَالُوا سُبْحَانَ رَبِّنَا إِنَّا كُنَّا ظَالِمِينَ
Wakasema: Ametakasika Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tulikuwa wenye kudhulumu.
30فَأَقْبَلَ بَعْضُهُمْ عَلَىٰ بَعْضٍ يَتَلَاوَمُونَ
Basi wakakabiliana kulaumiana wao kwa wao.
31قَالُوا يَا وَيْلَنَا إِنَّا كُنَّا طَاغِينَ
Wakasema: Ole wetu! Tulikuwa tumeikiuka mipaka!
32عَسَىٰ رَبُّنَا أَن يُبْدِلَنَا خَيْرًا مِّنْهَا إِنَّا إِلَىٰ رَبِّنَا رَاغِبُونَ
Asaa Mola wetu Mlezi akatubadilishia lilio bora kuliko hili. Hakika sisi ni wenye kurejea kwa Mola wetu Mlezi.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
30Aya

Tafsiri — Al-Qalam 30

Sura Al-Qalam Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi wakakabiliana kulaumiana wao kwa wao.

Sura Aya 30/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 28–32. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema