Al-Haqqa · 34/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ ۝٣٤
wa laa yahuddu `alaa ta`aamil miskeen
📖 Kwa Kiswahili
Wala hahimizi kulisha masikini.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 32-36 — Al-Haqqa

32ثُمَّ فِي سِلْسِلَةٍ ذَرْعُهَا سَبْعُونَ ذِرَاعًا فَاسْلُكُوهُ
Tena mtatizeni katika mnyororo wenye urefu wa dhiraa sabiini!
33إِنَّهُ كَانَ لَا يُؤْمِنُ بِاللَّهِ الْعَظِيمِ
Kwani huyo hakika alikuwa hamuamini Mwenyezi Mungu Mtukufu,
34وَلَا يَحُضُّ عَلَىٰ طَعَامِ الْمِسْكِينِ
Wala hahimizi kulisha masikini.
35فَلَيْسَ لَهُ الْيَوْمَ هَاهُنَا حَمِيمٌ
Basi leo hapa hana jamaa wa kumwonea uchungu,
36وَلَا طَعَامٌ إِلَّا مِنْ غِسْلِينٍ
Wala hana chakula ila usaha wa watu wa Motoni.
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
34Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 34

Sura Al-Haqqa Aya 34 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wala hahimizi kulisha masikini.

Sura Aya 34/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 32–36. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema