Al-Ma'arij · 36/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ ۝٣٦
Famaa lil lazeena kafaroo qibalaka muhti`een
📖 Kwa Kiswahili
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 34-38 — Al-Ma'arij

34وَالَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ يُحَافِظُونَ
Na ambao wanazihifadhi Sala zao.
35أُولَٰئِكَ فِي جَنَّاتٍ مُّكْرَمُونَ
Hao ndio watakao hishimiwa Peponi.
36فَمَالِ الَّذِينَ كَفَرُوا قِبَلَكَ مُهْطِعِينَ
Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?
37عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
38أَيَطْمَعُ كُلُّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ أَن يُدْخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ
Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 36

Sura Al-Ma'arij Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wana nini wale walio kufuru wanakutumbulia macho tu?

Sura Aya 36/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema