Al-Ma'arij · 39/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
كَلَّا ۖ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّمَّا يَعْلَمُونَ ۝٣٩
Kallaaa innaa khalaq nahum mimmaa ya`lamoon
📖 Kwa Kiswahili
La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 37-41 — Al-Ma'arij

37عَنِ الْيَمِينِ وَعَنِ الشِّمَالِ عِزِينَ
Makundi kwa makundi upande wa kulia na upande wa kushoto!
38أَيَطْمَعُ كُلُّ امْرِئٍ مِّنْهُمْ أَن يُدْخَلَ جَنَّةَ نَعِيمٍ
Kwani kila mmoja wao anatumai kuingizwa katika Pepo ya neema?
39كَلَّا ۖ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّمَّا يَعْلَمُونَ
La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.
40فَلَا أُقْسِمُ بِرَبِّ الْمَشَارِقِ وَالْمَغَارِبِ إِنَّا لَقَادِرُونَ
Basi naapa kwa Mola Mlezi wa mashariki zote na magharibi zote kwamba Sisi tunaweza
41عَلَىٰ أَن نُّبَدِّلَ خَيْرًا مِّنْهُمْ وَمَا نَحْنُ بِمَسْبُوقِينَ
Kuwabadili kwa walio bora kuliko wao; na Sisi hatushindwi.
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
39Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 39

Sura Al-Ma'arij Aya 39 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : La, hasha! Hakika Sisi tumewaumba kutokana na wanacho kijua.

Sura Aya 39/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 37–41. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema