Al-Muddaththir · 24/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
فَقَالَ إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ يُؤْثَرُ ۝٢٤
Faqaala in haazaaa illaa sihruny yu`sar
📖 Kwa Kiswahili
Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 22-26 — Al-Muddaththir

22ثُمَّ عَبَسَ وَبَسَرَ
Kisha akakunja kipaji, na akanuna.
23ثُمَّ أَدْبَرَ وَاسْتَكْبَرَ
Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.
24فَقَالَ إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ يُؤْثَرُ
Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
25إِنْ هَٰذَا إِلَّا قَوْلُ الْبَشَرِ
Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
26سَأُصْلِيهِ سَقَرَ
Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
24Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 24

Sura Al-Muddaththir Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.

Sura Aya 24/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema