Al-Muddaththir · 25/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
إِنْ هَٰذَا إِلَّا قَوْلُ الْبَشَرِ ۝٢٥
In haazaaa illaa qawlul bashar
📖 Kwa Kiswahili
Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 23-27 — Al-Muddaththir

23ثُمَّ أَدْبَرَ وَاسْتَكْبَرَ
Kisha akaipa kisogo haki, na akatakabari.
24فَقَالَ إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ يُؤْثَرُ
Na akasema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio nukuliwa.
25إِنْ هَٰذَا إِلَّا قَوْلُ الْبَشَرِ
Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.
26سَأُصْلِيهِ سَقَرَ
Nitakuja mtia kwenye Moto wa Saqar.
27وَمَا أَدْرَاكَ مَا سَقَرُ
Na nini kitakujuulisha ni nini huo Moto wa Saqar?
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
25Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 25

Sura Al-Muddaththir Aya 25 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Haya si chochote ila kauli ya binaadamu.

Sura Aya 25/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 23–27. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema