Al-Insan · 18/31
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Insan
عَيْنًا فِيهَا تُسَمَّىٰ سَلْسَبِيلًا ۝١٨
Aynan feeha tusammaa salsabeelaa
📖 Kwa Kiswahili
Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Al-Insan

16قَوَارِيرَ مِن فِضَّةٍ قَدَّرُوهَا تَقْدِيرًا
Vya fedha safi kama kiyoo, wamevipima kwa vipimo.
17وَيُسْقَوْنَ فِيهَا كَأْسًا كَانَ مِزَاجُهَا زَنجَبِيلًا
Na humo watanyweshwa kinywaji kilicho changanyika na tangawizi.
18عَيْنًا فِيهَا تُسَمَّىٰ سَلْسَبِيلًا
Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.
19۞ وَيَطُوفُ عَلَيْهِمْ وِلْدَانٌ مُّخَلَّدُونَ إِذَا رَأَيْتَهُمْ حَسِبْتَهُمْ لُؤْلُؤًا مَّنثُورًا
Na watawazungukia kuwatumikia wavulana wasio pevuka, ukiwaona utawafikiri ni lulu zilizo tawanywa.
20وَإِذَا رَأَيْتَ ثَمَّ رَأَيْتَ نَعِيمًا وَمُلْكًا كَبِيرًا
Na utakapo yaona, utakuwa umeona neema na ufalme mkubwa.
Al-InsanFaharasa ya Qurani
31Aya
MadinaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Insan 18

Sura Al-Insan Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hiyo ni chemchem iliyo humo inaitwa Salsabil.

Sura Aya 18/31 — Al-Insan الإنسان (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Insan Sikiliza, Al-Insan Tafsiri, Al-Insan mp3, Al-Insan pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema