Abasa · 30/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
وَحَدَائِقَ غُلْبًا ۝٣٠
Wa hadaa-iqa ghulba
📖 Kwa Kiswahili
Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 28-32 — Abasa

28وَعِنَبًا وَقَضْبًا
Na zabibu, na mimea ya majani,
29وَزَيْتُونًا وَنَخْلًا
Na mizaituni, na mitende,
30وَحَدَائِقَ غُلْبًا
Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,
31وَفَاكِهَةً وَأَبًّا
Na matunda, na malisho ya wanyama;
32مَّتَاعًا لَّكُمْ وَلِأَنْعَامِكُمْ
Kwa manufaa yenu na mifugo yenu.
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
30Aya

Tafsiri — Abasa 30

Sura Abasa Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,

Sura Aya 30/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 28–32. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema