Abasa · 31/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
وَفَاكِهَةً وَأَبًّا ۝٣١
Wa faki hataw-wa abba
📖 Kwa Kiswahili
Na matunda, na malisho ya wanyama;

🎧 Sikiliza


📜 Aya 29-33 — Abasa

29وَزَيْتُونًا وَنَخْلًا
Na mizaituni, na mitende,
30وَحَدَائِقَ غُلْبًا
Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,
31وَفَاكِهَةً وَأَبًّا
Na matunda, na malisho ya wanyama;
32مَّتَاعًا لَّكُمْ وَلِأَنْعَامِكُمْ
Kwa manufaa yenu na mifugo yenu.
33فَإِذَا جَاءَتِ الصَّاخَّةُ
Basi utakapo kuja ukelele,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
31Aya

Tafsiri — Abasa 31

Sura Abasa Aya 31 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na matunda, na malisho ya wanyama;

Sura Aya 31/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 29–33. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema