Al-Inshiqaq · 14/25
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Inshiqaq
إِنَّهُ ظَنَّ أَن لَّن يَحُورَ ۝١٤
Innahoo zanna al lai yahoor
📖 Kwa Kiswahili
Huyo hakika alidhani kuwa hatarejea tena.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 12-16 — Al-Inshiqaq

12وَيَصْلَىٰ سَعِيرًا
Na ataingia Motoni.
13إِنَّهُ كَانَ فِي أَهْلِهِ مَسْرُورًا
Hakika alikuwa furahani kati ya jamaa zake.
14إِنَّهُ ظَنَّ أَن لَّن يَحُورَ
Huyo hakika alidhani kuwa hatarejea tena.
15بَلَىٰ إِنَّ رَبَّهُ كَانَ بِهِ بَصِيرًا
Kwani? Hakika Mola wake Mlezi alikuwa akimwona!
16فَلَا أُقْسِمُ بِالشَّفَقِ
Basi ninaapa kwa wekundu wa jua linapo kuchwa,
Al-InshiqaqFaharasa ya Qurani
25Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-Inshiqaq 14

Sura Al-Inshiqaq Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Huyo hakika alidhani kuwa hatarejea tena.

Sura Aya 14/25 — Al-Inshiqaq الإنشقاق (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Inshiqaq Sikiliza, Al-Inshiqaq Tafsiri, Al-Inshiqaq mp3, Al-Inshiqaq pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema