Al-A'la · 14/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-A'la
قَدْ أَفْلَحَ مَن تَزَكَّىٰ ۝١٤
Qad aflaha man tazakkaa
📖 Kwa Kiswahili
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 12-16 — Al-A'la

12الَّذِي يَصْلَى النَّارَ الْكُبْرَىٰ
Ambaye atauingia Moto mkubwa.
13ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
Tena humo hatakufa wala hawi hai.
14قَدْ أَفْلَحَ مَن تَزَكَّىٰ
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
15وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
16بَلْ تُؤْثِرُونَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
Al-A'laFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-A'la 14

Sura Al-A'la Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.

Sura Aya 14/19 — Al-A'la الأعلى (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-A'la Sikiliza, Al-A'la Tafsiri, Al-A'la mp3, Al-A'la pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema