Al-A'la · 13/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-A'la
ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ ۝١٣
Summa laa yamootu feehaa wa laa yahyaa
📖 Kwa Kiswahili
Tena humo hatakufa wala hawi hai.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 11-15 — Al-A'la

11وَيَتَجَنَّبُهَا الْأَشْقَى
Na atajitenga mbali nayo mpotovu,
12الَّذِي يَصْلَى النَّارَ الْكُبْرَىٰ
Ambaye atauingia Moto mkubwa.
13ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
Tena humo hatakufa wala hawi hai.
14قَدْ أَفْلَحَ مَن تَزَكَّىٰ
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
15وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
Al-A'laFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Al-A'la 13

Sura Al-A'la Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tena humo hatakufa wala hawi hai.

Sura Aya 13/19 — Al-A'la الأعلى (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-A'la Sikiliza, Al-A'la Tafsiri, Al-A'la mp3, Al-A'la pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema