Al-A'la · 15/19
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-A'la
وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ ۝١٥
Wa zakaras ma Rabbihee fasallaa
📖 Kwa Kiswahili
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 13-17 — Al-A'la

13ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
Tena humo hatakufa wala hawi hai.
14قَدْ أَفْلَحَ مَن تَزَكَّىٰ
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
15وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
16بَلْ تُؤْثِرُونَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
17وَالْآخِرَةُ خَيْرٌ وَأَبْقَىٰ
Na Akhera ni bora na yenye kudumu zaidi.
Al-A'laFaharasa ya Qurani
19Aya
MakkaRevelation
15Aya

Tafsiri — Al-A'la 15

Sura Al-A'la Aya 15 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.

Sura Aya 15/19 — Al-A'la الأعلى (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-A'la Sikiliza, Al-A'la Tafsiri, Al-A'la mp3, Al-A'la pdf. Aya 13–17. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema