Al-Hijr · 16/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَلَقَدْ جَعَلْنَا فِي السَّمَاءِ بُرُوجًا وَزَيَّنَّاهَا لِلنَّاظِرِينَ ۝١٦
Wa laqad ja`alnaa fissamaaa`i buroojanw wa zaiyannaahaa linnaazireen
📖 Kwa Kiswahili
Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 14-18 — Al-Hijr

14وَلَوْ فَتَحْنَا عَلَيْهِم بَابًا مِّنَ السَّمَاءِ فَظَلُّوا فِيهِ يَعْرُجُونَ
Na lau tungeli wafungulia mlango wa mbingu, wakawa wanapanda,
15لَقَالُوا إِنَّمَا سُكِّرَتْ أَبْصَارُنَا بَلْ نَحْنُ قَوْمٌ مَّسْحُورُونَ
Basi wangeli sema: Macho yetu yamelevywa, bali sisi wenyewe tumerogwa.
16وَلَقَدْ جَعَلْنَا فِي السَّمَاءِ بُرُوجًا وَزَيَّنَّاهَا لِلنَّاظِرِينَ
Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia.
17وَحَفِظْنَاهَا مِن كُلِّ شَيْطَانٍ رَّجِيمٍ
Na tumezilinda na kila shetani afukuzwaye.
18إِلَّا مَنِ اسْتَرَقَ السَّمْعَ فَأَتْبَعَهُ شِهَابٌ مُّبِينٌ
Isipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kinacho onekana.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
16Aya

Tafsiri — Al-Hijr 16

Sura Al-Hijr Aya 16 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba…

Sura Aya 16/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 14–18. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema