Taha · 43/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
اذْهَبَا إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ ۝٤٣
Izhabaaa ilaa Fir`awna innahoo taghaa
📖 Kwa Kiswahili
Nendeni kwa Firauni. Hakika yeye amepindukia mipaka.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 41-45 — Taha

41وَاصْطَنَعْتُكَ لِنَفْسِي
Na nimekuteuwa kwa ajili ya nafsi yangu.
42اذْهَبْ أَنتَ وَأَخُوكَ بِآيَاتِي وَلَا تَنِيَا فِي ذِكْرِي
Nenda, wewe na ndugu yako, pamoja na ishara zangu, wala msichoke kunikumbuka.
43اذْهَبَا إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ
Nendeni kwa Firauni. Hakika yeye amepindukia mipaka.
44فَقُولَا لَهُ قَوْلًا لَّيِّنًا لَّعَلَّهُ يَتَذَكَّرُ أَوْ يَخْشَىٰ
Mwambieni maneno laini, huenda akazingatia au akaogopa.
45قَالَا رَبَّنَا إِنَّنَا نَخَافُ أَن يَفْرُطَ عَلَيْنَا أَوْ أَن يَطْغَىٰ
Wakasema: Ewe Mola wetu Mlezi! Hakika sisi tunaogopa asije akapindukia mipaka juu yetu au kufanya jeuri.
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
43Aya

Tafsiri — Taha 43

Sura Taha Aya 43 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Nendeni kwa Firauni. Hakika yeye amepindukia mipaka.

Sura Aya 43/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 41–45. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema