Taha · 93/135
Tafsiri Uandishi wa sauti — Taha
أَلَّا تَتَّبِعَنِ ۖ أَفَعَصَيْتَ أَمْرِي ۝٩٣
Allaa tattabi`ani afa`asaita amree
📖 Kwa Kiswahili
Hata usinifuate? Je, umeasi amri yangu?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 91-95 — Taha

91قَالُوا لَن نَّبْرَحَ عَلَيْهِ عَاكِفِينَ حَتَّىٰ يَرْجِعَ إِلَيْنَا مُوسَىٰ
Wakasema: Hatutaacha kumuabudu mpaka Musa atapo rejea kwetu.
92قَالَ يَا هَارُونُ مَا مَنَعَكَ إِذْ رَأَيْتَهُمْ ضَلُّوا
(Musa) akasema: Ewe Harun! Ni nini kilicho kuzuia, ulipo waona wamepotea,
93أَلَّا تَتَّبِعَنِ ۖ أَفَعَصَيْتَ أَمْرِي
Hata usinifuate? Je, umeasi amri yangu?
94قَالَ يَا ابْنَ أُمَّ لَا تَأْخُذْ بِلِحْيَتِي وَلَا بِرَأْسِي ۖ إِنِّي خَشِيتُ أَن تَقُولَ فَرَّقْتَ بَيْنَ بَنِي إِسْرَائِيلَ وَلَمْ تَرْقُبْ قَوْلِي
Akasema: Ewe mwana wa mama yangu! Usinishike ndevu zangu, wala kichwa changu. Kwa hakika naliogopa usije sema: Umewafarikisha Wana wa Israil, na hukungojea kauli yangu.
95قَالَ فَمَا خَطْبُكَ يَا سَامِرِيُّ
(Musa) akasema: Ewe Msamaria! Unataka nini?
TahaFaharasa ya Qurani
135Aya
MakkaRevelation
93Aya

Tafsiri — Taha 93

Sura Taha Aya 93 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hata usinifuate? Je, umeasi amri yangu?

Sura Aya 93/135 — Taha طه (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Taha Sikiliza, Taha Tafsiri, Taha mp3, Taha pdf. Aya 91–95. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema