Ash-Shu'ara · 135/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
إِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ ۝١٣٥
Innee akhaafu `alaikum `azaaba Yawmin `azeem
📖 Kwa Kiswahili
Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 133-137 — Ash-Shu'ara

133أَمَدَّكُم بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
134وَجَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Na mabustani na chemchem.
135إِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.
136قَالُوا سَوَاءٌ عَلَيْنَا أَوَعَظْتَ أَمْ لَمْ تَكُن مِّنَ الْوَاعِظِينَ
Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.
137إِنْ هَٰذَا إِلَّا خُلُقُ الْأَوَّلِينَ
Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
135Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 135

Sura Ash-Shu'ara Aya 135 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.

Sura Aya 135/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 133–137. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema