Ash-Shu'ara · 197/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
أَوَلَمْ يَكُن لَّهُمْ آيَةً أَن يَعْلَمَهُ عُلَمَاءُ بَنِي إِسْرَائِيلَ ۝١٩٧
Awalam yakul lahum Aayatan ai ya`lamahoo `ulamaaa`u Baneee Israaa`eel
📖 Kwa Kiswahili
Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa Wana wa Israili?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 195-199 — Ash-Shu'ara

195بِلِسَانٍ عَرَبِيٍّ مُّبِينٍ
Kwa ulimi wa Kiarabu ulio wazi.
196وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
197أَوَلَمْ يَكُن لَّهُمْ آيَةً أَن يَعْلَمَهُ عُلَمَاءُ بَنِي إِسْرَائِيلَ
Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa Wana wa Israili?
198وَلَوْ نَزَّلْنَاهُ عَلَىٰ بَعْضِ الْأَعْجَمِينَ
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
199فَقَرَأَهُ عَلَيْهِم مَّا كَانُوا بِهِ مُؤْمِنِينَ
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
197Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 197

Sura Ash-Shu'ara Aya 197 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa…

Sura Aya 197/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 195–199. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema