Ash-Shu'ara · 198/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَلَوْ نَزَّلْنَاهُ عَلَىٰ بَعْضِ الْأَعْجَمِينَ ۝١٩٨
Wa law nazzalnaahu `alaa ba`dil a`jameen
📖 Kwa Kiswahili
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 196-200 — Ash-Shu'ara

196وَإِنَّهُ لَفِي زُبُرِ الْأَوَّلِينَ
Na hakika bila ya shaka haya yamo katika Vitabu vya kale.
197أَوَلَمْ يَكُن لَّهُمْ آيَةً أَن يَعْلَمَهُ عُلَمَاءُ بَنِي إِسْرَائِيلَ
Je! Haikuwa kwao ni Ishara kwamba wanayajua haya wanazuoni wa Wana wa Israili?
198وَلَوْ نَزَّلْنَاهُ عَلَىٰ بَعْضِ الْأَعْجَمِينَ
Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio kuwa Waarabu,
199فَقَرَأَهُ عَلَيْهِم مَّا كَانُوا بِهِ مُؤْمِنِينَ
Na akawasomea, wasingeli kuwa wenye kuamini.
200كَذَٰلِكَ سَلَكْنَاهُ فِي قُلُوبِ الْمُجْرِمِينَ
Namna hivi tunaingiza katika nyoyo za wakosefu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
198Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 198

Sura Ash-Shu'ara Aya 198 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na lau kuwa tungeli iteremsha juu ya mmoja wa wasio…

Sura Aya 198/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 196–200. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema