Ash-Shu'ara · 36/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَابْعَثْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ ۝٣٦
Qaalooo arjih wa akhaahu wab`as filmadaaa`ini haashireen
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 34-38 — Ash-Shu'ara

34قَالَ لِلْمَلَإِ حَوْلَهُ إِنَّ هَٰذَا لَسَاحِرٌ عَلِيمٌ
(Firauni) akawaambia waheshimiwa walio mzunguka: Hakika huyu ni mchawi mtaalamu.
35يُرِيدُ أَن يُخْرِجَكُم مِّنْ أَرْضِكُم بِسِحْرِهِ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ
Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?
36قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَابْعَثْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.
37يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
38فَجُمِعَ السَّحَرَةُ لِمِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
36Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 36

Sura Ash-Shu'ara Aya 36 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao…

Sura Aya 36/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 34–38. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema