Ash-Shu'ara · 37/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ ۝٣٧
Yaatooka bikulli sah haarin `aleem
📖 Kwa Kiswahili
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 35-39 — Ash-Shu'ara

35يُرِيدُ أَن يُخْرِجَكُم مِّنْ أَرْضِكُم بِسِحْرِهِ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ
Anataka kukutoeni katika nchi yenu kwa uchawi wake. Basi mna shauri gani?
36قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَابْعَثْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Wakasema: Mpe muda yeye na nduguye na uwatume mijini wapigao mbiu ya mgambo.
37يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَحَّارٍ عَلِيمٍ
Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.
38فَجُمِعَ السَّحَرَةُ لِمِيقَاتِ يَوْمٍ مَّعْلُومٍ
Basi wakakusanywa wachawi wakati na siku maalumu.
39وَقِيلَ لِلنَّاسِ هَلْ أَنتُم مُّجْتَمِعُونَ
Na watu wakaambiwa: Je! Mtakusanyika?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 37

Sura Ash-Shu'ara Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakuletee kila mchawi bingwa mtaalamu.

Sura Aya 37/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema