As-Saffat · 151/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
أَلَا إِنَّهُم مِّنْ إِفْكِهِمْ لَيَقُولُونَ ۝١٥١
Alaaa innahum min ifkihim la yaqooloon
📖 Kwa Kiswahili
Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:
🎧 Sikiliza

📜 Aya 149-153 — As-Saffat

149فَاسْتَفْتِهِمْ أَلِرَبِّكَ الْبَنَاتُ وَلَهُمُ الْبَنُونَ
Basi waulize: Ati Mola wako Mlezi ndiye mwenye watoto wa kike, na wao wanao watoto wa kiume?
150أَمْ خَلَقْنَا الْمَلَائِكَةَ إِنَاثًا وَهُمْ شَاهِدُونَ
Au tumewaumba Malaika kuwa ni wanawake, na wao wakashuhudia?
151أَلَا إِنَّهُم مِّنْ إِفْكِهِمْ لَيَقُولُونَ
Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:
152وَلَدَ اللَّهُ وَإِنَّهُمْ لَكَاذِبُونَ
Mwenyezi Mungu amezaa! Ama hakika bila ya shaka hao ni waongo!
153أَصْطَفَى الْبَنَاتِ عَلَى الْبَنِينَ
Ati amekhiari watoto wa kike kuliko wanaume?
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
151Aya

Tafsiri — As-Saffat 151

Sura As-Saffat Aya 151 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ati ni kwa uzushi wao ndio wanasema:

Sura Aya 151/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 149–153. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema